Translate

Sunday, 12 July 2015

Kuita jini/majini

Jinsi ya kuita JINI na kumfanya RAFIKI,
MPENZI au MSAIDIZI.
Naam, nimekuja tena kupamba
jukwaa kwa aina ya pekee kabisa.
Nadhani mmewahi kusikia juu ya
hawa viumbe wanaoitwa MAJINI.
Mmesikia stori mbalimbali kuwahusu
lakini leo sio stori tena na vitendo.
Hawa ni viumbe wanaoishi ktk
ulimwengu wao wa majini. Kuna geti/
lango kubwa sana linalotenganisha
dunia yetu na wanayoishi wao.
Leo nitawafafanulieni namna ya
KUTENGENEZA JINI na umtumie kama
rafiki, mpenzi au msaidizi wako pasipo
kukudhuru.
MAHITAJI/VIFAA.
-Udi 4 (4 incense sticks).
-Pete, cheni. (ring or chain).
-Mishumaa 3. mweupe, mweusi na
mwekundu.
-Muda ni saa 6-10 usiku mwezi ukiwa
mpevu.
-Chumba tupu na kisafi.
-kioo.
-lipstick nyeusi/nyekundu.
HATUA ZA KUFUATA.
1. Ingia ktk chumba ulichoandaa ktk
muda ulitajwa hapo juu ukiwa na vifaa
vyote. Choma udi yote kisha toka nje
hadi imalizike kuungua kisha rudi tena
chumbani.
2. Kaa sakafuni kisha pangaa
mishumaa yako mbele yako kwa
kufuatana ukianza kushoto kwenda
kulia. Anza na mshumaa mweupe,
mwekundu kisha mweusi(nafasi kati
ya mshumaa hadi mshumaa ni inchi
6(6 inches).
3. Sema maneno haya mara 6 "ALLAH
SHAFIM BARAT SHIU KAMIR". Maneno
hayo hutumika kufungta geti la kule
ulimwengu wa majini. Hapo unakuwa
umefungua geti tayari.
4. Washa mishumaa yako ukianza na
mweupe, mweusi kisha mwekundu.
(kila rangi ina maana yake, nyeupe
inasimama badala ya amani, nyeusi ni
ulimwengu wa kijini na nyekundu ni
made material yao kwani
wameumbwa kwa moto).
5. Chagua aina ya jini umtakaye na
jinsia yake. Chukua kioo chako sasa
kisha andika maneno haya katikati ya
kioo kwa kutumia lipstick yako, "ALI
ALLAH HAMAL JINNI". Kisha kisha
andika jinsia yake MUSCHNA(Kwa jini
wa kiume) au VAMIR(kwa jini wa kike).
Kisha andika AL AMANI(yaani awe wa
amani). Mwisho aina ya jini kama vile.
*MAJIRR AL AMAR(huyu ana nguvu
sana), * AL AMAR(huyu ni wa pili kwa
nguvu). *SUL AL AMAR(ana nguvu za
wastani) au CLOSUN ONTEI(ana nguvu
dhaifu).
6. Ukimaliza kuandika tu maneno
hayo ktk kioo JINNI atakuwa ktk
chumba chako na utaona kama kuna
mtu vile lakini hutomwona. Utahisi
harufu ya manukato, kupumua na
sense kama kutembea nk.
7. Mwamrishe aingie ktk pete au
mkufu ulioandaa kwa kusema
maneno haya "EWE JINI NAKUAMURU
UINGIE KTK PETE/MKUFU HUU". Kisha
nyofoa nywele yako moja ya kichwami
na uichome kidogo kidogo ktk
mishumaa yako inayoendelea kuwaka
kwa dk. 1-2.
8. Mfungie ktk pete kwa kusema mara
3 maneno haya "EN TIEN ALLAH
CLMAN".
9. Zima mishumaa yako kwa kuanzia
mwekundu, mweusi kisha mweupe.
Futa maneno uliyoandika ktk kioog.
Hapo pete yako au mkufu wako
utakuwa na JINNI na namna ya
kumtumia nitawajuza baadaye.

1 comment:

Popular Posts

Contact Us

Name

Email *

Message *

About Author (Do Not Edit Here!)